Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Walakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura Nakili




Waroma 4:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa kutufundisha sisi, illi kwa uvumilivu na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.


Haya yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa illi kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.


Haya yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu ya kutamani mabaya, kama wale walivyotamani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo