Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 akijua hakika ya kuwa Mungu aweza kufanya yale aliyoahidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

Tazama sura Nakili




Waroma 4:21
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawatazama, akawaambia, Kwa wana Adamu hili haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.


KWA kuwa wiitu wengi wametia mkono kutunga khabari za mambo yale yaliyotimizwa kati yetu,


kwa maana hapana neno lisilowezekana kwa Mungu.


Na yu kheri aliyesadiki, kwa maana maneno hayo aliyoambiwa na Bwana yatatimizwa.


Wewe u nani unaemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa Bwana wake mwenyewe husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, maana Bwana aweza kumsimamisha.


Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku; mwingine aona siku zote kuwa sawa sawa. Killa mtu athuhutike katika akili zake mwenyewe.


Kwa maana tumekwisha kujua hakika ya kuwa hatta mauti haiwezi kututenga, wala nzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala wenye uwezo, wala yaliyopo, wala yatakayokuwa,


Na Mungu aweza kuwajaza killa neema kwa wingi, illl ninyi, mkiwa na riziki za killa namna siku zote, mpate kuzidi sana katika killa tendo jema;


Kwa sababu hiyo nimepata mateso haya, wala sitahayariki: maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki kwamba aweza kukilinda kile nilichakiweka amana kwake hatta siku ile.


Hawa wote wakafa katika imani, wasizipokee zile ahadi, bali wakiziona tokea mbali na kuzisalimu, na kukiri kwamba walikuwa wageni, na wasafiri juu ya inchi.


akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua kutoka kuzimu; akampata tena toka huko kwa mfano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo