Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Wala hakuionea shaka ahadi ya Mungu kwa kutokuamini, bali alitiwa nguvu kwa imani yake, akimtukuza Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini Ibrahimu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini Ibrahimu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

Tazama sura Nakili




Waroma 4:20
21 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakimwona, wakastaajabu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu mamlaka ya jinsi hii.


Zakaria akamwambia malaika, Nitajuaje hayo? Maana mimi mzee na mke wangu kongwe wa siku nyingi.


Na yu kheri aliyesadiki, kwa maana maneno hayo aliyoambiwa na Bwana yatatimizwa.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na maumivu, na dhiiki, na adha, na shidda, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo ua nguvu.


Ndugu zangu, mwe hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


BASSI wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo