Waroma 4:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Kwa sababu sharia ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipo sharia, hapana kosa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna sheria, haiwezekani kuivunja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna sheria, haiwezekani kuivunja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna sheria, haiwezekani kuivunja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria, hakuna makosa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria hakuna makosa. Tazama sura |