Waroma 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Maana ikiwa wale wa sharia ndio warithi, imani imekuwa burre, na ahadi imebatilika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa maana ikiwa wale wanaoishi kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa maana ikiwa wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu, Tazama sura |