Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BASSI, tusemeje? Ibrahimu baba yetu kwa jinsi ya mwili amepata nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Tuseme nini basi, kuhusu Ibrahimu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Tuseme nini basi, kuhusu Ibrahimu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili?

Tazama sura Nakili




Waroma 4:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

msiwaze moyoni kwamba, Tuna baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambieni ya kwamba Mungu anaweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto.


Zaeni, bassi, matunda yapatanayo na toba wala msianze kusema ndani ya nafsi zenu, Tunae baba ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambieni, ya kwamba Mungu katika mawe haya aweza kumwinulia Ibrahimu watoto.


Wakamjihu, Tu uzao wake Ibrahimu, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wo wote; nawe wanenaje, Mtawekwa huru?


Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, nae amekufa? Na manabii wamekufa; wajifanya kuwa nani?


Ibrahimu baba yemi alishangilia apate kuiona siku yangu; akaona, akafurahi.


Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, nao miongoni mwenu mnaomcha Mungu, kwenu ninyi neno la wokofu huu limepelekwa.


khabari za Mwana wake, aliyekuwa katika ukoo wa Daud kwa jinsi ya mwili,


Lakini, ikiwa udhalimu wetu waithubutisha hakiya Mungu, tuseme nini? Mungu ni dhalimu aletae ghadhabu? (Nasema kwa jinsi ya kibin-Adamu.)


Kwa hiyo ilitoka kwa imani, iwe kwa njia ya neema, illi ile ahadi iwe imara kwa wazao wote, si kwa wale wa torati tu, illa na kwa wale wa imani ya Ibrahimu aliye baba yetu sisi sote,


TUSEME nini bass? Tudumu katika dhambi illi neema iwe nyingi zaidi?


Tusemeje, bassi? Torati ni dhambi? Hasha! Walakini singalijua dhambi illa kwa sharia: kwa maana singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani.


Bassi, na tuseme nini baada ya hayo? Mungu akiwa upande wetu, nani aliye juu yetu?


Wao Waebrania? Na mimi. Wao Waisraeli? Na mimi. Wao uzao wa Ibrahimu? Na mimi.


Na pamoja na haya tulikuwa na baba za mwili wetu walioturudi, tukawastahi; bassi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo