Waroma 3:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Ni nini, bassi, ikiwa hawakuamini wengine? Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu? Tazama sura |