Waroma 3:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 ni haki ya Mungu, ipatwayo kwa kuwa na imani kwa Yesu Kristo, huja kwa watu wote, huwakalia watu wote waaminio. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Haki hii inayotoka kwa Mungu hupatikana kwa Isa Al-Masihi kwa wote wanaomwamini. Kwa maana hapo hakuna tofauti, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Isa Al-Masihi kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti, Tazama sura |