Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 3:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Hakuna afahamuye, Hakuna amtafutae Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.

Tazama sura Nakili




Waroma 3:11
25 Marejeleo ya Msalaba  

Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.


wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika,


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wuyafanye yasiyowapasa;


kama ilivyoandikwa, ya kama, Hakuna mwenye haki hatta mmoja.


Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema hatta mmoja:


Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sharia ya Mungu wala haiwezi.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, maasi, tumedanganywa, tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukienenda katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo