Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 3:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 kama ilivyoandikwa, ya kama, Hakuna mwenye haki hatta mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.

Tazama sura Nakili




Waroma 3:10
29 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, mauaji, mazini, asharati, uizi, ushuhuda wa uwongo, na matukano;


Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? hakuna mwema illa mmoja, ndiye Mungu.


Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hatta wasione, na masikio hatta wasisikie mpalla leo.


Hakuna afahamuye, Hakuna amtafutae Mungu.


Maana hapana tofauti; kwa sababu wote wamefanya dhambi, wanaona kwamba wamepungukiwii utukufu wa Mungu:


Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na killa mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Illi upewe haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, maasi, tumedanganywa, tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukienenda katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


maana imeandikwa, Mwe watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, nae waabuduo sanamu, na wawongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndio mauti ya pili.


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo