Waroma 2:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uhai wa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uhai wa milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uhai wa milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. Tazama sura |