Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 atakaemlipa killa mtu kwa kadiri ya matendo yake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.

Tazama sura Nakili




Waroma 2:6
25 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atamlipa killa mtu kwa kadiri ya kutenda kwake.


Je! unayo imani? Uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Yu kheri mtu yule asiyejihukumu katika neno lile alikubalilo.


Bassi yeye apandae, na yeye atiae maji ni kitu kimoja, na killa mtu atapata thawabu yake mwenyewe sawasawa na taabu yake mwenyewe.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Bassi si neno kubwa wakhudumu wake nao wakijigeuza wawe mfano wa wakhudumu wa haki. Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu ya Kristo, illi killa mtu apokee kadiri alivyotenda kwa mwili, vikiwa vyema au vikiwa vibaya.


Iskander mfua shaba alinionya mabaya mengi; Bwana atamlipa kwa jinsi ya matendo yake.


nami nitawaua watoto wake kwa manti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzae viuno na mioyo. Nami nitampa killa mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yenu.


Nikawaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele za Mungu; vitabu vikafunuliwa. Kitabu kingine kikafunuliwa, kilicho eha uzima, wafu wakahukumiwa kwa mambo ya matendo yao.


Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami kumlipa killa mtu kama itakavyokuwa kazi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo