Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na twajua ya kuwa hukumu ya Mungu ni ya kweli juu yao wafanyao hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.

Tazama sura Nakili




Waroma 2:2
27 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa ujumbe wa mtu yule aliyemchagua; nae amewapa watu wote bayana ya mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


KWA hiyo, ee mtu uhukumuye uwae yote, huna udhuru; kwa maana katika hayo uhukumuyo mwingine wajihukumu nafsi yako; kwa maana wewe uhukumuye unafanya yale yale.


Ee bin-Adamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu?


bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,


Tuseme nini bassi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!


Nikamsikia malaika wa maji akisema, Wewe u mwenye haki, ee Bwana, ulioko, uliyekuwako, mtakatifu, kwa kuwa umehukumu hivu;


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na za haki: maana amemhukumu yule kahabu mkuu aliyeiharibu inchi kwa uasharati wake, na kumpatiliza kwa ajili va damu ya watumwa wake mkononi mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo