Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 na kujua hakika ya kuwa wewe mwenyewe u kiongozi wa vipofu, mwanga wao walio gizani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,

Tazama sura Nakili




Waroma 2:19
23 Marejeleo ya Msalaba  

Waacheni hawo; ni vipofu, viongozi wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumhukia shimoni wote wawili.


Watu waliokaa gizani Waliona mwanga mkuu, Nao waliokaa katika inchi na kivuli cha mauti, Mwanga umewazukia.


Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kustirika ukiwa juu ya mlima.


Lakini jicho lako likiwa ovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Bassi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza, giza gani hilo!


Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali nfalme wa Mungu kama mtoto mchanga hatauingia kabisa.


Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuelekeza miguu yetu mnamo njia ya amani.


Wakajibu, wakamwambia, Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufuudisha sisi? Wakamtoa nje.


uwafumhue macho yao, waiache giza na kuielekea nuru, na waziache nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu, na wapate masamaha ya dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu.


na kuyajua mapenzi yake na kuyatambua manibo yaliyo bora, umeelimishwa katika torati,


mkufunzi wra wajiuga, mwalimu wa watoto wachanga, mwenye namna ya maarifa na ya kweli katika torati,


Mtu asijidanganye nafsi yake: kama mtu akijiona kuwa mweuye hekima kati yeuu katika dunia hii, na awe mpumbavu, apate kuwa mwenye hekima.


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi wenye akili katika Kristo; sisi dhaifu, lakini ninyi hodari; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala ndanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, na kilichopotoka; kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu, mkishika neno la uzima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo