Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 kwa maana hapana upendeleo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Tazama sura Nakili




Waroma 2:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wakawatuma kwake wanafunzi wao pamoja na Maherodiano, wakanena, Mwalimu, twajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, ua njia va Mungu waifundisha katika kweli, wala hujali cheo cha mtu, kwa maana hutazami sura za watu.


Wakamwuliza, wakinena, Mwalimu, twajua ya kuwa wanena yaliyo kweli na kuyafundisha, wala hujali cheo cha mtu, bali katika kweli waifundisha njia ya Mungu:


Petro akafumhua kiuywa chake, akasema, Hakika nimekwisha kutambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Tuseme nini bassi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!


Lakini wale wenye sifa kwamba wana cheo, walivyo vyo vyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwana Adamu—nasema, wale wenye sifa hawakuniongezea kitu,


Na ninyi, akina bwana, watendeni yayo bayo, mkiacha kuwaogofya, mkijua ya kuwa yeye aliye Bwana wao na wenu yuko mbinguni, na kwake hapana upendeleo.


Maana adhulumuye atapata mapato ya udhalimu wake, wala hakuna upendeleo.


Na ikiwa mnamwita Baba yeye ahukumuye killa mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, enendeni kwa khofu kafika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo