Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 16:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Nisalimieni Priska na Akula, watenda kazi pamoja nami katika Kristo Yesu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Al-Masihi Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Al-Masihi Isa.

Tazama sura Nakili




Waroma 16:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akaanza kunena bila khofu katika sunagogi: hatta Akula na Priskilla walipomsikia wakamchukua kwao, wakamweleza njia ya Bwana kwa usahihi zaidi.


Nisalimieni Apelle, mwenye kukubaliwa katika Kristo. Nisalimieni watu wa nyumba ya Aristobulo.


waliokuwa tayari hatta kukatwa kichwa kwa ajili ya maisha yangu; ambao ninawashukuru, wala si mimi tu, illa na makanisa ya mataifa yote pia;


Nisalimieni Androniko na Junia; jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, walio maarufu katika mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.


Nisalimieni Urbano, mtenda kazi pamoja nami katika Kristo, na Staku, mpenzi wangu.


SASA, bassi, hapana hukumu juu yao walio katika Kristo Yesu, wasioenenda kwa kufuata mambo ya mwili bali mambo ya roho.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Yesu ataihuisha na miili yemi iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho yake anayekaa ndani yenu.


Kwa sababu sharia ya Roho ya uzima ule ulio katika Yesu Kristo imeniacha huru, nikawa mbali ya sharia ya dhambi na mauti.


bassi watiini watu kama hawa, na killa mtu afanyae kazi pamoja nao, na kujitaabisha.


Makanisa ya Asia wawasalimu. Akula na Priskilla wawasalimu sana katika Bwana, pamoja na kanisa lililo ndani ya nyumba yao.


Namjua mtu mmoja katika Kristo, impita sasa miaka arobatashara, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui, Mungu ajua). Mtu huyu alichukuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.


Hatta imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo ni kiumbe kipya, vya kale vimepita; kumbe! vyote vimekuwa vipya.


Lakini sikujulika uso wangu na makanisa ya Yahudi yaliyo katika Kristo;


Lakini naliona imenilazimu kumtuma Epafrodito, ndugu yangu, mtendaji wa kazi pamoja nami, askari pamoja nami; tena ni mtume wenu na mkhudumu wa muhitaji yangu.


Na Yesu aitwae Yusto; hao ni watu wa tohara. Tena hao peke yao ni watendaji wa kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao walikuwa faraja kwangu.


Nisalimie Priska, na Akula, na nyumba ya Onesiforo. Erasto alikaa Korintho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo