Waroma 16:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Maana utii wenu umewafikilia watu wote; bassi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka mwe wenye hekima katika mambo mema, na wajinga katika mambo mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kila mtu amesikia kuhusu utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu. Tazama sura |