Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 16:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Nisalimieni Rufo, mteule katika Kristo, na mama yake, aliye mama yangu pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana Isa, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana Isa, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.

Tazama sura Nakili




Waroma 16:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza wa mwisho: maana waitwao wengi, hali wateule wachache.


Wakamtumikisha mtu aliyekuwa akipita, Simon Mkurene, akitoka mashamba, baba wa Iskander na Rufo, auchukue msalaba wake.


Kwa maana mtu ye yote atakaeyafanya mapenzi ya Mungu, huyu ndive ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali mimi niliyewachagua ninyi, nikawaamuru, mwende zenu mkazae, mazao yenu yakakae: illi lo lote mmwombalo Baba kwa Jina langu, awapeni.


Baadae akamwambia mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua kwake.


Nisalimieni Trufina na Trufosa, wenye ijtihadi katika Kristo.


Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma, na ndugu walio pamoja nao.


kama alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu, wasio khatiya mbele zake, katika pendo.


Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokofu, katika kutakaswa kwa Roho na kuiamini kweli,


wanawake wazee kama mama, wanawake vijana kama ndugu, kwa utakatifu wote.


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo