Waroma 15:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Bassi nasema, Yesu Kristo amefanyika mkhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithubutishe ahadi walizopewa haha zetu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa maana nawaambia kwamba Al-Masihi amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonesha kweli ya Mungu, na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa maana nawaambia kwamba Al-Masihi amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu, na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani, Tazama sura |