Waroma 15:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Na Mungu mwenye uvumilivu na faraja awajalieni kunia mamoja ninyi kwa ninyi, kwa namna ya Yesu Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mungu aliye msingi wa saburi na faraja yote, awajalieni nyinyi kuwa na msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mungu aliye msingi wa saburi na faraja yote, awajalieni nyinyi kuwa na msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mungu aliye msingi wa saburi na faraja yote, awajalieni nyinyi kuwa na msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mungu atoaye saburi na faraja awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Al-Masihi Isa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Al-Masihi Isa, Tazama sura |