Waroma 15:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Nakusihini, ndugu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, jitahidini pamoja nami kwa maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi na kwa upendo wa Roho wa Mungu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi na kwa upendo wa Roho wa Mwenyezi Mungu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu. Tazama sura |