Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 15:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Na sasa ninakwenda Yerusalemi, nikiwakhudumu watakatifu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lakini, kwa sasa nakwenda kuwahudumia watu wa Mungu kule Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lakini, kwa sasa nakwenda kuwahudumia watu wa Mungu kule Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lakini, kwa sasa nakwenda kuwahudumia watu wa Mungu kule Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Ila sasa niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.

Tazama sura Nakili




Waroma 15:25
14 Marejeleo ya Msalaba  

bali aliagana nao, akisema. Sina buddi kufanya siku kuu hii inayokuja Yerusalemi: lakini nitarejea kwenu, Mungu akinijalia.


Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paolo akaazimu rohoni mwake kupita kati ya Makedonia na Akaia aende Yerusalemi, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi.


Kwa sababu Paolo amekusudia kupita Efeso merikebuni, asije akakawia katika Asia: kwa maana alikuwa akifanya haraka, akitaka kuwahi Yerusalemi siku ya Pentekote, kama ikiwezekana.


Bassi, sasa angalieni, nashika njia kwenda Yerusalemi nimefungwa rohoni, nisijue mambo yatakayonikuta huko;


Baada ya miaka mingi nalifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia khabari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemi:


kwa mahitaji ya watakatifu, mkiwashirikisha; katika kukaribisha wageni, mkijitahidi.


Na kama ikifaa niende na mimi, watasafiri pamoja nami.


kwa khiari yao wenyewe walitoa vitu vyao; wakituomba pamoja na kutusihi tuipokee neema hii, na kushirikiana nao huku kuwakhudumia watakatifu.


hatta tukamwonya Tito kuwatimilizieni neema hii kama vile alivyoianza.


illa neno moja walitutakia, tuwakumbuke maskini; na neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.


maana Mungu si dhalimu hatta asahau kazi zenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewakhudumia watakatifu, na hatta hivi sasa mngali mkiwakhudumia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo