Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 15:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 BASSI imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza nafsi zetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

Tazama sura Nakili




Waroma 15:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

LAKINI yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, illakini msimhukumu mawazo yake.


Mtu mmoja ana imani, anakula vyote, lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.


Wala hakuionea shaka ahadi ya Mungu kwa kutokuamini, bali alitiwa nguvu kwa imani yake, akimtukuza Mungu,


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi wenye akili katika Kristo; sisi dhaifu, lakini ninyi hodari; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, illi niwapate wanyonge. Nalikuwa mtu wa hali zote kwa watu wote, illi nipate kuwaokoa watu kwa njia zote.


Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na maumivu, na dhiiki, na adha, na shidda, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo ua nguvu.


Ndugu zangu, mwe hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


killa mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, hali killa mtu mamho ya wengine.


Twawasihi, ndugu, waonyeni wale wasiokaa kwa taratihu, watieni moyo walio dhaifu, watieni nguvu wanyonge, vumilieni na watu wote.


BASSI wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu m hodari, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, na mmemshinda yule mwovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo