Waroma 14:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Maana Kristo alikufa akafufuka akawa hayi tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hayi pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Maana Kristo alikufa, akafufuka ili apate kuwa Bwana wa walio hai na wafu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Maana Kristo alikufa, akafufuka ili apate kuwa Bwana wa walio hai na wafu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Maana Kristo alikufa, akafufuka ili apate kuwa Bwana wa walio hai na wafu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwani kwa sababu hii hasa, Al-Masihi alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani waliokufa na walio hai. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwani kwa sababu hii hasa, Al-Masihi alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani, waliokufa na walio hai. Tazama sura |