Waroma 14:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Kwa kuwa yeye amtumikiae Kristo katika mambo haya humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wana Adamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu. Tazama sura |