Waroma 14:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Kwa maana imeandikwa, Kwa uhayi wangu, anena Bwana, magoti yote yatapigwa mbele zangu, Na ndimi zote zitamkiri Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maana Maandiko yanasema: “Kama niishivyo, asema Bwana, kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maana Maandiko yanasema: “Kama niishivyo, asema Bwana, kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maana Maandiko yanasema: “Kama niishivyo, asema Bwana, kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa kuwa imeandikwa: “ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Mwenyezi Mungu, ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kuwa imeandikwa: “ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Bwana Mwenyezi, ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ” Tazama sura |