Waroma 13:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendae mtu mwenzake ameitimiza sharia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria. Tazama sura |