Waroma 13:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Kwa sababu hiyo tena mwatoa kodi; kwa kuwa wao ni watumishi wa Mungu, wakidumu katika kazi hiyohiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kwa sababu hiyohiyo nyinyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kwa sababu hiyohiyo nyinyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kwa sababu hiyohiyo nyinyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala. Tazama sura |