Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 12:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Kama yumkini, kwa upande wenu, mwe na amani na watu wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na amani na watu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na amani na watu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na amani na watu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.

Tazama sura Nakili




Waroma 12:18
24 Marejeleo ya Msalaba  

iache sadaka yako mbele ya madbbahu, nenda zako, kwanza patana na ndugu yako, kisha rudi utoe sadaka yako,


Wa kheri wenye upole: maana hawo watairithi inchi.


Wa kheri wasuluhishi: maana hawo watakwitwa wana wa Mungu.


Chumvi ni njema; lakini chumvi ikitokwa na ladhdha yake, mtaitia nini ikolee? Mwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa amani ninyi kwa ninyi.


Kwa hiyo, kwa upande wangu, mimi ni tayari kuikhubiri Injili hatta na kwenu ninyi muaokaa Rumi;


Maana ufalme wa Muugu si kula na kunywa, bali baki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.


Bassi kama ni hivyo, tufuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo ndugu mume au ndugu mke hafungiki.


Khatimae, ndugu, kwa kherini; mtimilike, mfarajike, nieni mamoja, mkae katika imani; na Mungu wa upendo na amani awe pamoja nanyi.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


mkijitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Mwe na amani ninyi kwa ninyi.


Lakini zikimbie tamaa za ujana; nkafuate haki, na imani, na uaminifu, na upendo, na amani, pamoja na hao wamwitiao Bwana kwa moyo safi.


Fanyeni bidii kutafuta amani kwa watu wote, na utakatifu, ambao hapana mtu atakaemwona Mungu asipokuwa nao;


Na aache mabaya, atende mema; Atafute amani, aifuate sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo