Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 12:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Wabarikini wanaowafukuzeni; barikini, wala msilaani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Watakieni baraka wote wanaowadhulumu nyinyi; naam, watakieni baraka na wala msiwalaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Watakieni baraka wote wanaowadhulumu nyinyi; naam, watakieni baraka na wala msiwalaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Watakieni baraka wote wanaowadhulumu nyinyi; naam, watakieni baraka na wala msiwalaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.

Tazama sura Nakili




Waroma 12:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

bali mimi nawaambieni, Wapendeni adui zenu, wabarikini wanaowalaani, watendeni mema wanaowachukia, waombeeni wanaowatendea ukorofi, na kuwatesa;


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa maana hawajui watendalo. Wakagawanya nguo zake, wakipiga kura.


wabarikini wao wawalaanio ninyi, waombeeni wao watendao ninyi jeuri.


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Angalieni mtu awae yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, mambo haya hayapasi kuwa hivyo.


watu wasiolipa baya badala ya baya, au laumu badala ya laumu; bali wabarikio; kwa sababu ndiyo mlioitiwa illi mrithi baraka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo