Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 12:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Msilegee katika bidii, ila muwe wachangamfu rohoni katika kumtumikia Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Msilegee katika bidii, ila muwe wachangamfu rohoni katika kumtumikia Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Msilegee katika bidii, ila muwe wachangamfu rohoni katika kumtumikia Bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana Isa.

Tazama sura Nakili




Waroma 12:11
33 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, pendo la watu wengi litapoa.


Bwana wake akajibu, akamwambia, Mtumishi mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Mtu huyu alikuwa amefundishwa njia ya Bwana; na kwa kuwa roho yake ilikuwa ikiwaka, alianza kunena na kufundisha kwa usahihi khabari za Bwana; nae alijua ubatizo wa Yohana tu.


nikimtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, na machozi, na majaribu yaliyonipata kwa hila za Wayahudi;


Kwa maana yeye aliyekwitwa katika Bwana hali ya utumwa, ni huru wa Bwana. Vivyo hivyo yeye nae aliyekwitwa hali ya uhuru, ni mtuniwa wa Kristo.


Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo njema kwa mikono yake mwenyewe, apafe kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


NINYI bwana, wapeni watumwa wenu yaliyo haki na ya adili, mkijua ya kuwa ninyi nanyi mna Bwana mbinguni.


Na pamoja na hayo wajifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi, hujishughulisha na mambo ya wengine wakinena maneno yasiyowapasa.


Bassi tukipokea ufalme usioweza kutetemeshwa, tuwe na neema, illi kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho:


Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


Lakini nina neno jun yako, kwa sababu umeacha npendo wako wa kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo