Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 11:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Na Daud asema, Meza yao iwe tanzi na mtego, Na kitu cha kuwakwaza, na malipo kwao;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa, kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa, kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.

Tazama sura Nakili




Waroma 11:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u chukizo kwangu: maana huyawazi mambo ya Mungu, bali yaliyo ya wana Adamu.


Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo, wanakutaka roho yako. Nayo uliyojiwekea tayari yatakuwa ya nani?


Bassi tusizidi kuhukumiana, bali afadhali mtoe hukumu hii, ndugu asitiwe kitu cha kumkwaza au cha kumwangusha.


Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na killa kosa na uasi ulipata ujira wa haki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo