Waroma 11:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hatta wasione, na masikio hatta wasisikie mpalla leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 kama ilivyoandikwa: “Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo, macho ili wasiweze kuona, na masikio ili wasiweze kusikia, hadi leo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 kama ilivyoandikwa: “Mwenyezi Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo, macho ili wasiweze kuona, na masikio ili wasiweze kusikia, hadi leo.” Tazama sura |