Waroma 11:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192136 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amin. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. Tazama sura |