Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 11:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Kwa maana kama ninyi zamani mlimwasi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa kutokuamini kwao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Hapo awali nyinyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Hapo awali nyinyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Hapo awali nyinyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mwenyezi Mungu, lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao,

Tazama sura Nakili




Waroma 11:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu karama za Mungu na wito wake hazina majuto.


vivyo hivyo na hao wameasi sasa, illi kwa kurehemiwa kwenu wao nao wapate rehema.


nao Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa sababu hii nitakusifu katika Mataifa, Na jina lako nitaliimba.


Kwa khabari za mabikira sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kuwa mwaminifu kwa rehema za Bwana.


KWA sababu hiyo, kwa kuwa tuna khuduma hii, kwa jinsi tulivyorehemiwa, hatulegei;


Katika hayo na ninyi mlitembea zamani, mlipoishi katika haya.


Agizo hilo nakupa iwe akiba, mwanangu Timotheo, kwa ajili ya maneno ya unabii yalivotangulia juu yako, illi katika hayo ufanye vile vita vizuri;


Na ni nani aliowaapia ya kwamba hawataingia katika raha yake, illa wale wasioamini?


ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo