Waroma 11:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe. Tazama sura |