Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 11:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Macho yao yatiwe giza wasione, Ukawainamisbe mgongo wao siku zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.”

Tazama sura Nakili




Waroma 11:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza:


Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hatta wasione, na masikio hatta wasisikie mpalla leo.


akili zao zimetiwa giza, wamekaa mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo niwao, kwa sababu mioyo yao imekufa ganzi:


Hawa ni visiwa visivyo na maji, na mawingu yachukuliwayo na tufani, ambao weusi wa giza ni akiba waliyowekewa:


Kwa maana kama vile Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika mafungo ya giza, walindwe hatta ije hukumu;


ni mawimbi ya bahari vasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu, ni nyota zipoteazo, ambao giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Na malaika wasioilinda enzi yao, wakayaacha makao yao, amewaweka kwa hukumu ile kuu katika vifungo vya milele chini ya giza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo