Waroma 10:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 au, Ni nani atakaeshuka kuzimuni? (yaani, ni kuleta Kristo juu, kutoka kwa wafu.) Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 wala usiseme: ‘Nani atashuka mpaka kuzimu?’ (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 wala usiseme: ‘Nani atashuka mpaka kuzimu?’ (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 wala usiseme: ‘Nani atashuka mpaka kuzimu?’ (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “au ‘Ni nani atashuka kwenda Kuzimu?’” (yaani ili kumleta Al-Masihi kutoka kwa wafu). Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’ ” (yaani ili kumleta Al-Masihi kutoka kwa wafu.) Tazama sura |