Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 10:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Kwa maana Musa aieleza haki itokayo kwa sharia, akiandika ya kuwa, Mtu afanyae haya ataishi kwa haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kuhusu kuwa mwadilifu kwa kuitii sheria, Mose aliandika hivi: “Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya sheria ataishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kuhusu kuwa mwadilifu kwa kuitii sheria, Mose aliandika hivi: “Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya sheria ataishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kuhusu kuwa mwadilifu kwa kuitii sheria, Mose aliandika hivi: “Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya sheria ataishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Musa anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Musa anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”

Tazama sura Nakili




Waroma 10:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nikaona ile amri iletayo uzima, ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.


Na sharia haikuja kwa imani, bali, Mtu atendae hayo ataishi katika hayo.


tena nionekane katika yeye, nisiwe na baki ile ipatikanayo kwa sharia, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo