Waroma 10:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Lakini kwa israeli asema, Mchana kutwa naliwanyoshea mikono watu wasiotii na ubishi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Lakini kuhusu Israeli anasema, “Mchana kutwa nimewanyooshea watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Lakini kuhusu Israeli anasema, “Mchana kutwa nimewanyooshea watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.” Tazama sura |