Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 10:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Lakini kwa israeli asema, Mchana kutwa naliwanyoshea mikono watu wasiotii na ubishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Lakini kuhusu Israeli anasema: “Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Lakini kuhusu Israeli anasema, “Mchana kutwa nimewanyooshea watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Lakini kuhusu Israeli anasema, “Mchana kutwa nimewanyooshea watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.”

Tazama sura Nakili




Waroma 10:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

na mataifa yote wakhubiriwe kwa jina lake toba na ondoleo la dhambi, kuanzia Yerusalemi.


wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa; illi watimize dhambi zao siku zote; lakini hasira imewafikia hatta mwisho.


tena, Jiwe lakujikwaza mguu, na mwamba wa kujiangusha; maana hujikwaza kwa neno lile, wakiliasi, nao waliwekwa wapate hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo