Waroma 10:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Lakini si wote walioitii khahari njema. Kwa maana Isaya asema, Bwana, nani aliyeamini khabari zetu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini wote hawakuipokea hiyo habari njema. Maana Isaya alisema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini wote hawakuipokea hiyo habari njema. Maana Isaya alisema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini wote hawakuipokea hiyo habari njema. Maana Isaya alisema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Lakini si wote waliotii Injili. Kwa maana Isaya asema, “Mwenyezi Mungu, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, “Bwana Mwenyezi, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” Tazama sura |