Waroma 10:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 kwa kuwa killa atakaemwita Bwana kwa Jina lake ataokoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana Mwenyezi, ataokolewa.” Tazama sura |