Waroma 10:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Kwa maana andiko lanena, Killa amwaminiye hatatahayarika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maandiko Matakatifu yasema: “Kila anayemwamini hataaibishwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maandiko Matakatifu yasema: “Kila anayemwamini hataaibishwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maandiko Matakatifu yasema: “Kila anayemwamini hataaibishwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kama Maandiko yanavyosema, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.” Tazama sura |