Waroma 10:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 kwa maana kwa moyo watu huamini hatta kupata haki, na kwa kinywa hukiri hatta kupata wokofu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Maana mtu huamini kwa moyo akafanywa mwadilifu; na hukiri kwa kinywa akaokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Maana mtu huamini kwa moyo akafanywa mwadilifu; na hukiri kwa kinywa akaokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Maana mtu huamini kwa moyo akafanywa mwadilifu; na hukiri kwa kinywa akaokolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu. Tazama sura |