Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 1:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana ni dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhihirisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhihirisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhihirisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.

Tazama sura Nakili




Waroma 1:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.


Kwa sababu mambo yake yasiyoonekima tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, yanafahamika kwa viumbe vyake, yaani uweza wake wa milele na Uungu wake; wtisiwe na udhuru:


Kwa maana watu wa mataifu wasio na sharia wafanyapo kwa tabia zao yaliyo ndani ya torati, bao wasio na sharia wamekuwa sharia kwa nafsi zao wenyewe:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo