Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 4:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Enendeni kwa hekima mbele vao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri wakati mlio nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 4:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu; hali wale walio nje yote huwawia kwa mifano,


Maana utii wenu umewafikilia watu wote; bassi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka mwe wenye hekima katika mambo mema, na wajinga katika mambo mabaya.


Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; kwa neema mkimwimbia Bwana mioyoni mwenu.


illi mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na baja ya cho chote.


Imempasa tena kushuhudiwa mazuri na watu walio nje; asitumbukie katika lawama na mtego wa Shetani.


Lakini mtu wa kwemi akipungukiwa hekima, aombe dua kwa Mungu, awapae wote kwa ukarimu, wala hakemei; nae atapewa.


Nani aliye na hekima na fahamu kwenu? Na aonyeshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


KADHALIKA ninyi wake, watumikieni waume o zenu; kusudi, ikiwa wako waume wasioliamini Neno, kwa mwenendo wa wake zao, pasipo Neno lile, wavutwe;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo