Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 4:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Mwambieni Arkippo, Iangalie sana khuduma ile uliyopewa katika Bwana, illi uitimize.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana Isa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana Isa.”

Tazama sura Nakili




Wakolosai 4:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Vilevile na yule mwenye mbili, yeye nae akachuma nyingine mbili faida.


akapata sehemu ya khuduma hii.


Na walipokwisha kuchagua wazee katika killa mji, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka kafika mikono ya Bwana waliyemwamini.


Jiangalieni nafsi zenu, na kundi lote, ambalo Roho Mtakatifu aliwakabidhi mlisimamie, kanisa lake Mungu, alilojipatia kwa damu yake mwenyewe.


Na yeye aliwatoa wengine kuwa mitume; na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji, na waalimu,


Usiache kuitumia ile karama iliyo udani yako uliyopewa wewe kwa unabii, na kwa kuwekewa mikono ya wazee.


Jitunze nafsi yako, na yale mafundisho. Ukadumu katika hayo; maana kwa kufanya hivi utajiokoa nafsi yako nao wakusikiao.


Ukiwakumhusha ndugu hayo, utakuwa mkhudumu mwema wa Yesu Kristo, na mzoevu wa maneno ya imani, na ya mafundisho yale mazuri uliyoyafuata.


Timotheo, ilinde amana, ukijiepisha na maneno yasiyo ya dini, yasiyo maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu kwa nwongo;


Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.


Na yale uliyoyasikia kwangu kwa mashahidi wengi, uwakabidbi hayo watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine.


na kwa Appia, ndugu yetu mpendwa, na kwa Arkippo askari mwenzetu, na kwa kanisa lililo katika nyumba yako;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo