Wakolosai 4:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Waraka hun ukiisha kusomwa kwenu, fanyeni kwamba usomwe katika kanisa la Walaodikia; na ule wa Laodikia usomwe na ninyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kundi la waumini wa Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kundi la waumini la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia. Tazama sura |