Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 3:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 kwa ajili ya hayo ghadhabu ya Mungu huwafikia wana wa kuasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mwenyezi Mungu inakuja.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 3:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ghadhahu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wana Adamu waipingao kweli kwa uovu wao.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo maana; maana kwa sababu ya haya ghadhabu ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza, za ujinga wenu;


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kukhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo ilivozoezwa kutamani, wana wa laana;


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo