Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 3:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Nieni yaliyo juu, siyo yaliyo katika inchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 3:2
20 Marejeleo ya Msalaba  

Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u chukizo kwangu: maana huyawazi mambo ya Mungu, bali yaliyo ya wana Adamu.


Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu ziharibupo, na wevi huvunja na kuiba:


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na kutamani, maana uzima wa mtu hautoki katika mali zake, kwa sababu ana wingi wa mali.


Bassi, ikiwa hamkuwa waaminifu katika mamona ya udhalimu, nani atakaewaaminisheni mali ya kweli?


Ninasongwa kati kati ya mambo mawili; ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo; maana ni vizuri zaidi;


BASSI mkiwa mmefufuka panioja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo aliko mkono wa kuume wa Mungu, ameketi.


Bassi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika inchi, uasharati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo